Skip to main content

Research Repository

Advanced Search

Ulinganishi wa mofolojia na sintaksia baina ya lugha 19 za Kibantu za Afrika Mashariki [A morphosyntactic comparison of 19 East African Bantu languages]

Gibson, Hannah; Mapunda, Gastor; Marten, Lutz; Taji, Justus

Authors

Hannah Gibson

Gastor Mapunda

Justus Taji



Abstract

Katika makala hii tumewasilisha matokeo ya utafiti wetu kuhusu lugha 19 za Kibantu za Afrika Mashariki. Tumeonesha kwamba kuna makundi makuu matatu ambayo yanafanana kiasi cha asilimia 70 au zaidi. Makundi haya yanajikuta katika maeneo mbalimbali ya eneo la utafiti wetu. Kuna kundi la kaskazini, la kati, na la kusini. Tumetumia mbinu maalumu ya kulinganisha mofolojia na sintaksia za lugha hizi, ambayo inatumia vigezo 142 kuelezea kiwangochaufananokati yao.Matokeoya utafitihuuyanaonesha kwambakuna tofauti kubwa bainaya lughahizi.Kiwangochaufananobaina lughahizinikatiyaasimilia45(yaaniuhusiano baina Kikuyu na Kisena) na 80 (baina Kiwabo na Kimakhuwa). Ili kufahamu kwamba kuna makundi maalumu miongoni mwa lugha hizi, tumegawanya lugha ambazo ufanano wao ni
chini ya asimilia 70 na zile ambazo ufanano wao ni juu ya asimilia 70. Inawezekana kwamba
uhusiano uliopo kati ya makundi haya unaonyesha uhusiano wao wa kihistoria.

Citation

Gibson, H., Mapunda, G., Marten, L., & Taji, J. (2020). Ulinganishi wa mofolojia na sintaksia baina ya lugha 19 za Kibantu za Afrika Mashariki [A morphosyntactic comparison of 19 East African Bantu languages]. Kiswahili, 82, 1-13

Journal Article Type Article
Acceptance Date Jan 23, 2020
Publication Date Apr 1, 2020
Deposit Date Apr 6, 2020
Publicly Available Date Apr 2, 2120
Journal Kiswahili
Print ISSN 0856-048X
Electronic ISSN 2546-2229
Peer Reviewed Peer Reviewed
Volume 82
Pages 1-13
Publisher URL https://www.ajol.info/index.php/ksh/article/view/194874

Files

This file is under embargo until Apr 2, 2120 due to copyright reasons.

Contact outputs@soas.ac.uk to request a copy for personal use.





You might also like



Downloadable Citations